Quantas cidades temos destruído porque exultaram em sua vida (quanto às facilidades e à fartura)! Eis que suashabitações foram desabitadas, a não ser por uns poucos, depois deles, e fomos Nós o Herdeiro!
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na wengi miongoni mwa watu wa miji tuliwaangamiza yalipowapumbaza wao maisha yao yakawashughulisha wasiwaamini Mitume, kwa hivyo wakakufuru na wakapita kiasi. Basi hayo ndio majumba yao, hayakukaliwa baada yao isipokuwa machache katika hayo. Na sisi daima ndio wenye kuwarithi waja: tunawafisha, kisha wanarejea kwetu tukawalipa kwa matendo yao.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel