E quelli che ingiustamente offendono i credenti e le credenti si fan carico di calunnia e di evidente peccato.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wale wenye kuwaudhi Waumini wa kiume na Waumini wa kike kwa maneno au vitendo bila ya kosa walilolifanya, basi watakuwa wametenda tendo la urongo na uzushi mbaya kabisa, na wamefanya kosa chafu waziwazi, ambalo kwalo watastahili kupewa adhabu huko Akhera.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel