Per coloro che giurano di astenersi dalle loro donne, è fissato il termine di quattro mesi 1 . Se recedono, Allah è perdonatore, misericordioso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wale wanaoapa kwa Mwenyezi Mungu kwamba hawatawaingilia wake zao, wana muda wa kusubiriwa wa miezi minne. Iwapo watarudi kabla kumalizika hiyo miezi mine, basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasamehe makosa yaliyofanywa na wao ya kiapo kwa sababu ya kurudi kwao, ni Mwenye huruma nao.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel