Recita quello che ti è stato rivelato del Libro del tuo Signore. Nessuno può cambiare le Sue parole 1e non troverai 2, all’infuori di Lui, alcun rifugio.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na usome Qur’ani, ewe Mtume, ambayo Mwenyezi Mungu Amekuletea wahyi nayo, kwani hiyo Qur’ani ni Kitabu ambacho hakuna mwenye kuyageuza maneno yake kwa kuwa ni ya kweli na ya uadilifu, na hutapata isipokuwa kwa Mola wako mahala pa wewe kuhamia wala pa kujilinda.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel