Le jour où l’injuste se mordra les deux mains et dira : "Hélas pour moi ! Si seulement j’avais suivi chemin avec le Messager !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na ikumbuke, ewe Mtume, Siku ambayo mwenye kujidhulumu nafsi yake ataiuma mikono yake kwa majuto na unguliko kwa kusema, «Laiti mimi niliandamana na Mtume wa Mwenyezi Mungu Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, na nikamfuata katika kuufanya Uislamu kuwa ni njia ya Peponi,»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel