Et le roi dit: “Amenez-le moi ! Je me le réserve pour moi-même.” Et lorsqu’il lui eut parlé, il dit : “Tu es dès aujourd’hui près de nous, en une position d’autorité et de confiance.”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Mfalme, mtawala wa Misri, ilipomfikia habari kwamba Yūsuf hana hatia, alisema, «Mleteni kwangu nipate kumfanya ni miongoni mwa marafiki wangu wa kikweli na washauri wangu.» Yūsuf alipokuja, na mfalme akasema na yeye, akajua kwamba yeye hana hatia na kwamba ni muaminifu sana na ni mwenye tabia njema, alimwambia, «Wewe leo hapa kwetu una heshima kubwa na unaaminiwa kwa kila kitu.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel