ما به آنچه (مشرکان) میگویند داناتریم، و تو (ای پیامبر) بر آنها زورگو نیستی (که آنها را به ایمان آوردن اجبار کنی) پس کسی را که از عذاب (و هشدار) من میترسد، به (وسیلۀ) قرآن پند (و اندرز) بده.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sisi ni wajuzi zaidi kwa wanayoyasema hawa washirikina, ya kumzulia Mwenyezi Mungu urongo na kukanusha aya Zake. Na hukuwa wewe, ewe Mtume, umepewa nguvu juu yao ya kuwalazimisha waingie katika Uislamu, hakika ni kwamba wewe umetumilizwa uwe mfikishaji. Basi mkumbushe kwa Qur’ani anayeogopa onyo langu, kwa kuwa asiyeogopa onyo (la Mwenyezi Mungu) hafaidiki kwa kukumbushwa.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel