(در) آن روز، (همگی) دعوت کننده را پیروی کنند، هیچ راه سرپیچی (و مخالفت) نیست، و همۀ صداها در برابر (الله) رحمان خاشع میشود، پس جز صدای آهسته (چیزی) نمیشنوی.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Katika siku hiyo, watu wataifuata sauti ya mlinganizi kuelekea kwenye kisimamo cha Kiyama, hakuna njia ya kuepuka ulinganizi wa mwenye kulingania, kwani huo ni haki na kweli kwa viumbe wote. Hapo sauti zitatulia kwa kumnyenyekea Mwingi wa rehema, hutasikia kutoka kwao isipokuwa sauti ya ndani isiyosikika.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel