those who hindered ˹others˺ from Allah’s Way, strived to make it ˹appear˺ crooked, and disbelieved in the Hereafter.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Makifiri hawa ndio wale waliokuwa wakiipuuza njia ya Mwenyezi Mungu iliyolingana sawa, na wakiwazuia watu wasiifuate, na wakitaka kwamba njia ya kuifuata iwe kombo ili kusiwe na yoyote wa kuielewa; na wao, kuhusu Akhera na mambo yake, ni wenye kukanusha.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel