Whenever they commit a shameful deed,1 they say, “We found our forefathers doing it and Allah has commanded us to do it.” Say, “No! Allah never commands what is shameful. How can you attribute to Allah what you do not know?”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na makafiri wanapofanya tendo ovu, wanajitetea kwa kusema kwamba hilo ni miongoni mwa yale waliyoyapokea kutoka kwa baba zao na kwamba hilo ni katika yale Aliyoyaamrisha Mwenyzi Mungu. Waambie, ewe Mtume, «Mwenyezi Mungu Hawaamrishi waja Wake vitendo vichafu na viovu. Je, mnasema, kumsingizia Mwenyezi Mungu msiyoyajua, urongo na uzushi?»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel