Those who worshipped the calf will certainly be afflicted with wrath from their Lord as well as disgrace in the life of this world. This is how We reward those who invent falsehood.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hakika wale waliomfanya kigombe ni mungu itawapata wao ghadhabu kali kutoka kwa mola wao na unyonge katika uhai wa kilimwengu, kwa sababu ya kumkanusha kwao Mola wao. Na kama tulivyofanyia hawa, tutawafanyia wazushi wenye kuleta uzushi katika Dini ya Mwenyezi Mungu; na kila mwenye uzushi katika Dini ni mnyonge.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel