They have made their ˹false˺ oaths as a shield, hindering ˹others˺ from the Way of Allah. Evil indeed is what they do!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Ukweli ni kwamba wanafiki wamevifanya viapo vyao wanavyoviapa ni kinga na ngao ya kuwakinga wasihukumiwe na kuadhibiwa, na wamejizuia wenyewe na kuwazuia watu njia ya mwenyezi Mungu iliyonyoka. Kwa kweli wao, ni maovu mno yale ambayo walikuwa wakiyafanya,
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel