Indeed, those who disbelieve after having believed then increase in disbelief, their repentance will never be accepted.1 It is they who are astray.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hakika wale waliokufuru baada ya kuwa wao wameamini na wakaendelea kwenye ukafiri mpaka kufa, haitakubaliwa toba kutoka kwao mauti yakiwasimamia. Na wao ndio waliopotea njia wakakosa kuifikia.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel