Are they waiting for Allah ˹Himself˺ to come to them in the shade of clouds, along with the angels? ˹If He did˺, then the matter would be settled ˹at once˺. And to Allah ˹all˺ matters will be returned ˹for judgment˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Hawangojei hawa wakaidi wenye kukanusha, baada ya kusimama dalili wazi, isipokuwa Awajie Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kushinda, kwa namna inayolingana na Yeye, Aliyetakasika na kila sifa mbaya, katika vivuli vya Mawingu Siku ya Kiyama ili Aamue baina yao kwa hukumu adilifu, na waje Malaika. Wakati huo, Atahukumu Mwenyezi Mungu, kati yao, hukumu Yake. Na kwake Yeye Peke Yake hurudishwa mambo yote ya viumbe.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel