The disbelievers then threatened their messengers, “We will certainly expel you from our land, unless you return to our faith.” So their Lord revealed to them, “We will surely destroy the wrongdoers,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Nyoyo za makafiri ziliingia dhiki kwa maneno ya Mitume na wakasema kuwaambia, «Hakika tutawatoa kutoka miji yetu mpaka mrudi kwenye dini yetu.» Mwenyezi Mungu Akatuma wahyi kwa Mitume kwamba Atawaangamiza wenye kukataa wenye kumkanusha Yeye na Mitume Wake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel